Alhamisi, 2 Oktoba 2014

Sherehe ya Kumpongeza Mchungaji Kiongozi  Rogathe z. Swai wa Kanisa la (TAG)Revival Kinondoni. 

Mchungaji Kiongozi Askofu Zakayo Rogathe Swai wa Kanisa  la   Tanzania Assemblies of God (TAG) Kinondoni maarufu  kama Kinondoni Revival Church   afanyiwa sherehe  kwa kuhitimu  mafunzo ya Shahada ya kwanza ya Theologia  toka Chuo  kikuu cha East  Nairobi  sherehe  zilizofanyika leo  kanisani Kinondoni Dar  es  Salaam.
Mchungaji  Swai akiwa na  mkewe Eshemendi, wengine kutoka kushoto ni Askofu mkuu wa makanisa  ya TAG  Tanzania  Dr Barnabas Mtokambali  na  mkewe  , Kulia kabisa ni   Mr & Mrs  Rev Dr.   Moris Mwarandu toka   kanisa la  RGC  Nairobi, Kenya  
                                           Askofu  Swai  na  mkewe  wakilishana  keki .


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni