Alhamisi, 23 Oktoba 2014

NIMEAMINI MUNGU ALICHO KIUNGANISHA MWANADAMU HAWEZI KUKITENGANISHA.

                                    
                                     Emmanuel  Mbasha akiwa na  mke wake  wa ndoa  Flora  Mbasha.

             Huyu  ni mwimbaji  mahiri  wa  nyimbo  za  injili  akimshukuru mungu  kwa  kurudiana  na  mume  wake  kipenzi  ambaye  kuna  mtafaruko  wa  ndoa  uliotoke  kama  miezi  miwili  iliyopita .  amendelea  kusema  ni  meamini  mume  wangu  alisingiziwa  kwa  maneno  yaliyovuma  sana  kuwa  amemubaka  mdogo wangu  hizo  tetesi ni  za  uongo.

          Hivyo  amesema  tunarudiana  kuwa  mwili  mmoja  hadi  kifo  kitakapo  tutenganisha hakuna mwingine  wa kututenganisha  maana  kuna  watu  wengi  wa  meweza  kuzugumzia  hili  swala  nimeamua turudiane najua  lilikuwa  jaribu tu  na  sasa tumeshinda  vita  tumekuwa  mwili  mmoja.

          Emmanuel  Mbasha  amesema  na  mshukru  sana  mke  wangu  kwa  kunisamehe  kwa  mambo  yaliyotokea  japokuwa  hayakuwa  na  ukweli  sasa  tumekuwa  mwili  mmoja  hakuna  mwingine  wa  kututenganisha  bali  ni  mungu  atakaye  tutenganisha  ambacho  ni  kifo  tu.

        Na  huyo  unayemuona  upande  wa kushoto  huyo  ndiye  mdogo  wake  Flora  Mbasha  ambaye  alisingiziwa  na  mbasha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni