Jumanne, 21 Oktoba 2014

REBECA MALOPE MUIMBAJI MAARUFU WA NYIMBO ZA INJILI AFRIKA KUSINI.

                              

           Muimbaji wa  nyimbo  za  Injili  Nchin  Afrika  Kusini  maarufu  kama  Rebeca  Malope  alizaliwa mnamo  mwaka 1968. Alipofikisha  miaka  18 alianza kumwimbia Mungu wake aliye  muumba nyimbo za kusifu.


                             https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgdwTW52hsDGCP9NJYCHRDc2l4z_mvtSFFJ0tBoUnC-RExNoNGHkFCFMCmnJVbFW8qHVLuisM-wtTQ_enwvjSphyphenhyphen3ggHrNKl5DlIzLZQxXJnRirQDabV8ygwUB7_zgQ3N3v72gXNgsHlHWT/s1600/rebecca-article-header.jpg

         Safari  hiyo  ya msanii wa  nyimbo  za Injili, Alikuja kuzaa  matunda yanayozidi  kukonga  nyoyo za mamia  ya  watu  duniani. Rebeka  Malope  pia ni  mtangazaji  wa  kipindi  cha  luninga  kiitwacho  "It is  Gospel  time" kinachohusu  Injili.
\
\        Ndani  ya  takribani  miaka 27  katika  kazi  yake  muziki  Rebeca  amekwisha  toa  albamu  za mziki  wa  Injili  takribani 32. Pia  ana  Tuzo zaidi ya  29.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni