habari za wasanii mbalimbali wanao mwimbia mungu, makala pamoja na neno la Mungu.
Jumatano, 22 Oktoba 2014
Mch Abiudi Misholi Nimebaki Peke Yangu
mchungaji Abiudi Misholi akiimba nyimbo za kusifu na kuabudu ambaye amejazwa Roho mtakatifu,katika wimbo huu anaeleza kuwa hata ukibaki peke yako ndugu zako wakikuacha Yesu hawezi kukuacha hata siku moja.Hivyo mtu wa mungu utakaye sikiliza wimbo huu naomba usijisikie mkiwa yupo Mungu muweza wa mambo yote.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni